Kutoka 30:10
Mara moja kwa mwaka Haruni atafanya upatanisho juu ya pembe za hayo madhabahu. Upatanisho huu wa mwaka lazima ufanywe kwa damu ya sadaka ya upatanisho kwa ajili ya dhambi kwa vizazi vijavyo. Ni takatifu sana kwa Mwenyezi Mungu.”Kutoka 30:10 katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- כִּפֻּרkippurexpiation (only in plural)
- קֶרֶןqerena horn (as projecting); by implication, a flask, cornet; by resemblance. an elephant's too
- כָּפַרkâpharto cover (specifically with bitumen); figuratively, to expiate or condone, to placate or c
- דּוֹרdôwrproperly, a revolution of time, i.e. an age or generation; also a dwelling
- חַטָּאָהchaṭṭâʼâhan offence (sometimes habitual sinfulness), and its penalty, occasion, sacrifice, or expia
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
- אַהֲרוֹןʼAhărôwnAharon, the brother of Moses
- קֹדֶשׁqôdesha sacred place or thing; rarely abstract, sanctity
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Lev 16:18, Heb 9:22–23, Heb 9:25, Exo 29:36–37, Lev 23:27, Lev 16:29–30, Lev 16:5–6, Heb 1:3