Kutoka 2:14
Yule mtu akamjibu, “Ni nani aliyekufanya mtawala na mwamuzi juu yetu? Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri?” Ndipo Musa akaogopa na kuwaza, “Jambo lile nililofanya lazima limefahamika.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- אָכֵןʼâkênfirmly; figuratively, surely; also (advers.) but
- מִצְרִיMitsrîya Mitsrite, or inhabitant of Mitsrajim
- הָרַגhâragto smite with deadly intent
- שָׁפַטshâphaṭto judge, i.e. pronounce sentence (for or against); by implication, to vindicate or punish
- יָרֵאyârêʼto fear; morally, to revere; caus. to frighten
- שַׂרsara head person (of any rank or class)
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
- מֹשֶׁהMôshehMosheh, the Israelite lawgiver
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Luk 12:14, Mat 21:23, Gen 37:19–20, Luk 19:14, Gen 19:9, Psa 2:2–6, Act 7:26–28, Pro 29:25