Kutoka 2:11
Siku moja, Musa alipokuwa mtu mzima, alienda mahali walipokuwa ndugu zake, na akaona jinsi walivyokuwa wakifanyishwa kazi ngumu. Akamwona Mmisri akimpiga Mwebrania, mmoja wa watu wake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- סְבָלָהçᵉbâlâhporterage
- מִצְרִיMitsrîya Mitsrite, or inhabitant of Mitsrajim
- עִבְרִיʻIbrîyan Eberite (i.e. Hebrew) or descendant of Eber
- גָּדַלgâdalto be (causatively make) large (in various senses, as in body, mind, estate or honor, also
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
- אָחʼâcha brother (used in the widest sense of literal relationship and metaphorical affinity or r
- מֹשֶׁהMôshehMosheh, the Israelite lawgiver
- יָצָאyâtsâʼto go (causatively, bring) out, in a great variety of applications, literally and figurati
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Heb 11:24–26, Act 7:22–24, Exo 1:11, Luk 4:18, Mat 11:28, Exo 3:7, Isa 58:6, Exo 5:14