Kutoka 16:23
Musa akawaambia, “Hivi ndivyo alivyoagiza Mwenyezi Mungu: ‘Kesho itakuwa Sabato ya mapumziko, Sabato takatifu kwa Mwenyezi Mungu. Kwa hiyo okeni kile mnachotaka kuoka na mchemshe kile mnachotaka kuchemsha. Hifadhini chochote kinachobaki na mkiweke hadi asubuhi.’ ”Kutoka 16:23 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- עֲדַףʻădaphto be (causatively, have) redundant
- שַׁבָּתוֹןshabbâthôwna sabbatism or special holiday
- אָפָהʼâphâhto cook, especially to bake
- בָּשַׁלbâshalproperly, to boil up; hence, to be done in cooking; figuratively to ripen
- כֹּלkôlproperly, the whole; hence, all, any or every (in the singular only, but often in a plural
- מָחָרmâchârproperly, deferred, i.e. the morrow; usually (adverbially) tomorrow; indefinitely, hereaft
- מִשְׁמֶרֶתmishmerethwatch, i.e. the act (custody), or (concretely) the sentry, the post; objectively preservat
- יָנַחyânachto deposit; by implication, to allow to stay
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Lev 23:3, Exo 20:8–11, Exo 31:15, Exo 35:2–3, Gen 2:2–3, Exo 23:12, Mrk 2:27–28, Luk 23:56