Kutoka 14:5
Mfalme wa Misri alipoambiwa kuwa Waisraeli wamekimbia, Farao na maafisa wake wakabadili nia zao kuhusu Waisraeli, wakasema, “Tumefanya nini? Tumewaachia Waisraeli waende zao na tumeukosa utumishi wao!”Kutoka 14:5 katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- בָּרַחbârachto bolt, i.e. figuratively, to flee suddenly
- הָפַךְhâphakto turn about or over; by implication, to change, overturn, return, pervert
- לֵבָבlêbâbthe heart (as the most interior organ);
- פַּרְעֹהParʻôhParoh, a general title of Egyptian kings
- נָגַדnâgadproperly, to front, i.e. stand boldly out opposite; by implication (causatively), to manif
- מִצְרַיִםMitsrayimMitsrajim, i.e. Upper and Lower Egypt
- עֶבֶדʻebeda servant
- שָׁלַחshâlachto send away, for, or out (in a great variety of applications)
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Psa 105:25, Luk 11:24–26, Exo 12:33, Jer 34:10–17, 2Pe 2:20–22
