Esta 7:9
Kisha Harbona, mmoja wa matowashi waliomtumikia mfalme, akasema, “Mahali pa kuangika watu penye urefu wa dhiraa hamsini pako nyumbani mwa Hamani. Alikuwa amepatengeneza kwa ajili ya Mordekai, ambaye alizungumza ili kumsaidia mfalme.” Mfalme akasema, “Mwangikeni juu yake!”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חַרְבוֹנָאCharbôwnâʼCharbona or Charbonah, a eunuch of Xerxes
- גָּבֹהַּgâbôahhelevated (or elated), powerful, arrogant
- סָרִיסçârîyça eunuch; by implication, valet (especially of the female apartments), and thus, a ministe
- הָמָןHâmânHaman, a Persian vizier
- מׇרְדְּכַיMordᵉkayMordecai, an Israelite
- אַמָּהʼammâhproperly, a mother (i.e. unit of measure, or the fore-arm (below the elbow), i.e. a cubit;
- חֲמִשִּׁיםchămishshîymfifty
- עֵץʻêtsa tree (from its firmness); hence, wood (plural sticks)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Psa 7:15–16, Pro 11:5–6, Est 5:14, Est 1:10, Psa 35:8, Psa 141:10, Dan 6:24, Psa 73:19