MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Esta 6:9

Kisha joho na farasi vikabidhiwe kwa mmoja wa wakuu wa mfalme anayeheshimika sana. Nao wamvike mtu yule ambaye mfalme anapenda kumheshimu, na aongozwe akiwa juu ya farasi kupitia barabara za mji, wakitangaza mbele yake, ‘Hivi ndivyo anavyotendewa mtu ambaye mfalme apenda kumheshimu!’ ”

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

Gen 41:43, 1Ki 1:33–34, Zec 9:9

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/est/6/9" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Esta 6:9 — MEGA.Bible"></iframe>