Esta 5:1
Siku ya tatu, Esta alivaa mavazi yake ya kimalkia, naye akasimama katika ua wa ndani wa jumba la mfalme, mbele ya ukumbi wa mfalme. Naye mfalme alikuwa ameketi kwenye kiti chake cha kifalme katika ukumbi, akielekea langoni.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- נֹכַחnôkachproperly, the front part; used adverbially (especially with preposition), opposite, in fro
- פְּנִימִיpᵉnîymîyinterior
- אֶסְתֵּרʼEçtêrEster, the Jewish heroine
- מַלְכוּתmalkûwtha rule; concretely, a dominion
- שְׁלִישִׁיshᵉlîyshîythird; feminine athird (part); by extension, a third (day, year or time); specifically, a
- לָבַשׁlâbashproperly, wrap around, i.e. (by implication) to put on agarment or clothe (oneself, or ano
- כִּסֵּאkiççêʼproperly, covered, i.e. a throne (as canopied)
- חָצֵרchâtsêra yard (as inclosed by a fence); also a hamlet (as similarly surrounded with walls)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.