Kumbukumbu La Torati 7:13
Atawapenda ninyi na kuwabariki na kuongeza idadi yenu. Atabariki uzao wa tumbo lenu, mazao ya nchi yenu, nafaka, divai mpya na mafuta, ndama za ng’ombe wa makundi yenu, na kondoo wa makundi yenu katika nchi ile aliyoapa kuwapa baba zenu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- עַשְׁתְּרָהʻashtᵉrâhincrease
- שֶׁגֶרshegerthe fetus (as finally expelled)
- אֶלֶףʼelepha family; also (from the sense of yoking or taming) an ox or cow
- יִצְהָרyitshâroil (as producing light); figuratively, anointing
- תִּירוֹשׁtîyrôwshmust or fresh grape-juice (as just squeezed out); by implication (rarely) fermented wine
- דָּגָןdâgânproperly, increase, i.e. grain
- בֶּטֶןbeṭenthe belly, especially the womb; also the bosom or body of anything
- פְּרִיpᵉrîyfruit (literally or figuratively)
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jhn 14:21, Jhn 15:10, Deu 28:3–5, Exo 23:25, Jhn 16:27, Pro 10:22, Mat 6:33, Mal 3:10–11