Kumbukumbu La Torati 4:34
Je, kuna mungu yeyote amepata kujaribu mwenyewe kuchukua taifa moja kutoka taifa lingine, kwa mapigo, kwa ishara za miujiza na maajabu, kwa vita, kwa mkono wenye nguvu na mkono ulionyooshwa au kwa matendo makuu ya kutisha, kama yale ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, aliyofanya kwa ajili yenu huko Misri mbele ya macho yenu?Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- מַסָּהmaççâha testing, of men (judicial) or of God (querulous)
- מוֹרָאmôwrâʼfear; by implication, a fearful thing or deed
- מוֹפֵתmôwphêtha miracle; by implication, a token or omen
- נָסָהnâçâhto test; by implication, to attempt
- חָזָקchâzâqstrong (usu. in a bad sense, hard, bold, violent)
- אוֹתʼôwtha signal (literally or figuratively), as aflag, beacon, monument, omen, prodigy, evidence,
- זְרוֹעַzᵉrôwaʻthe arm (as stretched out), or (of animals) the foreleg; figuratively, force
- קֶרֶבqerebproperly, the nearest part, i.e. the center, whether literal, figurative or adverbial (esp
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
