Kumbukumbu La Torati 4:10
Kumbuka siku uliyosimama mbele za Mwenyezi Mungu, Mungu wako, kule Horebu aliponiambia, “Wakutanishe watu mbele yangu wasikie maneno yangu ili waweze kujifunza kuniheshimu kwa muda wote watakaoishi katika nchi, nao waweze kuwafundisha watoto wao maneno hayo.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Nani
Kwa maneno gani
- חֹרֵבChôrêbChoreb, a (generic) name for the Sinaitic mountains
- קָהַלqâhalto convoke
- לָמַדlâmadproperly, to goad, i.e. (by implication) to teach (the rod being an Oriental incentive)
- אֲדָמָהʼădâmâhsoil (from its general redness)
- יָרֵאyârêʼto fear; morally, to revere; caus. to frighten
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
- עָמַדʻâmadto stand, in various relations (literal and figurative, intransitive and transitive)
- שָׁמַעshâmaʻto hear intelligently (often with implication of attention, obedience, etc.; causatively,
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
