Kumbukumbu La Torati 31:7
Kisha Musa akamwita Yoshua na akamwambia mbele ya Israeli wote, “Uwe imara na moyo wa ushujaa, kwa kuwa ni lazima uende na watu hawa katika nchi ile Mwenyezi Mungu aliyowaapia baba zao kuwapa, nawe ni lazima uwagawie kama urithi wao.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אָמַץʼâmatsto be alert, physically (on foot) or mentally (in courage)
- שָׁבַעshâbaʻto seven oneself, i.e. swear (as if by repeating a declaration seven times)
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- חָזַקchâzaqto fasten upon; hence, to seize, be strong (figuratively, courageous, causatively strength
- מֹשֶׁהMôshehMosheh, the Israelite lawgiver
- קָרָאqârâʼto call out to (i.e. properly, address by name, but used in a wide variety of applications
- עַיִןʻayinan eye (literally or figuratively); by analogy, a fountain (as the eye of the landscape)
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.