Kumbukumbu La Torati 3:21
Wakati huo nilimwamuru Yoshua, “Umejionea kwa macho yako mwenyewe yale yote ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, amewafanyia wafalme hawa wawili. Mwenyezi Mungu atazifanyia falme zote huko mnakoenda vivyo hivyo.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Kwa maneno gani
- מַמְלָכָהmamlâkâhdominion, i.e. (abstractly) the estate (rule) or (concretely) the country (realm)
- יְהוֹשׁוּעַYᵉhôwshûwaʻJehoshua (i.e. Joshua), the Jewish leader
- עֵתʻêthtime, especially (adverb with preposition) now, when, etc.
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
- שְׁנַיִםshᵉnayimtwo; also (as ordinal) twofold
- עַיִןʻayinan eye (literally or figuratively); by analogy, a fountain (as the eye of the landscape)
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
- מֶלֶךְmeleka king
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Num 27:18–23, Psa 9:10, 2Co 1:10, 2Co 12:10, Eph 3:20, 1Sa 17:36–37, Jos 10:25, 2Ti 4:17–18
