Kumbukumbu La Torati 3:13
Kisha nusu ya kabila la Manase niliwapa sehemu ya Gileadi iliyobaki pamoja na Bashani yote, ambayo ilikuwa utawala wa Ogu. (Eneo lote la Argobu katika Bashani lilikuwa linajulikana kama nchi ya Warefai.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אַרְגֹּבʼArgôbArgob, a district of Palestine
- עוֹגʻÔwgOg, a king of Bashan
- הוּאhûwʼhe (she or it); only expressed when emphatic or without a verb; also (intensively) self, o
- בָּשָׁןBâshânBashan (often with the article), a region East of the Jordan
- חֶבֶלchebela rope (as twisted), especially a measuring line; by implication, a district or inheritanc
- יֶתֶרyetherproperly, an overhanging, i.e. (by implication) an excess, superiority, remainder; also a
- חֵצִיchêtsîythe half or middle
- מַמְלָכָהmamlâkâhdominion, i.e. (abstractly) the estate (rule) or (concretely) the country (realm)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.


