Kumbukumbu La Torati 3:11
(Mfalme Ogu wa Bashani ndiye peke yake aliyesalia miongoni mwa mabaki ya Warefai. Kitanda chake kilikuwa cha chuma chenye urefu wa dhiraa tisa na upana wa dhiraa nne. Hata sasa kinaweza kuonekana katika mji wa Waamoni wa Raba.)Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- עֶרֶשׂʻeresa couch (properly, with a canopy)
- רַבָּהRabbâhRabbah, the name of two places in Palestine, East and West
- רָפָאrâphâʼa giant
- עוֹגʻÔwgOg, a king of Bashan
- בָּשָׁןBâshânBashan (often with the article), a region East of the Jordan
- תֵּשַׁעtêshaʻnine or (ordinal) ninth
- בַּרְזֶלbarzeliron (as cutting); by extension, an iron implement
- לֹאlôʼnot (the simple or abs. negation); by implication, no; often used with other particles
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

