Kumbukumbu La Torati 24:4
basi yule mume wake wa kwanza, ambaye alimpa talaka, haruhusiwi kumwoa tena baada ya mwanamke huyo kuwa najisi. Hayo yatakuwa machukizo machoni pa Mwenyezi Mungu. Usilete dhambi juu ya nchi ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wako, anakupa kama urithi.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- בַּעַלbaʻala master; hence, a husband, or (figuratively) owner (often used with another noun in modif
- תּוֹעֵבַהtôwʻêbahproperly, something disgusting (morally), i.e. (as noun) an abhorrence; especially idolatr
- טָמֵאṭâmêʼto be foul, especially in a ceremial or moral sense (contaminated)
- רִאשׁוֹןriʼshôwnfirst, in place, time or rank (as adjective or noun)
- יָכֹלyâkôlto be able, literally (can, could) or morally (may, might)
- חָטָאchâṭâʼproperly, to miss; hence (figuratively and generally) to sin; by inference, to forfeit, la
- אַחַרʼacharproperly, the hind part; generally used as an adverb or conjunction, after (in various sen
- אִשָּׁהʼishshâha woman
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.