Kumbukumbu La Torati 24:16
Baba wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kila mmoja atakufa kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.Kumbukumbu La Torati 24:16 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- אָבʼâbfather, in a literal and immediate, or figurative and remote application
- אִישׁʼîysha man as an individual or a male person; often used as an adjunct to a more definite term
- בֵּןbêna son (as a builder of the family name), in the widest sense (of literal and figurative re
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.