Kumbukumbu La Torati 23:24
Ukiingia katika shamba la mizabibu la jirani yako, unaweza kula zabibu kadiri utakavyo, lakini usiweke chochote kwenye kikapu chako.Kumbukumbu La Torati 23:24 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שֹׂבַעsôbaʻsatisfaction (of food or (figuratively) joy)
- עֵנָבʻênâba grape
- כֶּרֶםkerema garden or vineyard
- רֵעַrêaʻan associate (more or less close)
- נֶפֶשׁnepheshproperly, a breathing creature, i.e. animal of (abstractly) vitality; used very widely in
- אָכַלʼâkalto eat (literally or figuratively)
- נָתַןnâthanto give, used with greatest latitude of application (put, make, etc.)
- בּוֹאbôwʼto go or come (in a wide variety of applications)
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.