Kumbukumbu La Torati 21:23
kamwe msiuache mwili wake mtini usiku kucha. Hakikisheni mnauzika mwili wake siku ile ile, kwa sababu kila mtu anayeangikwa mtini yupo chini ya laana ya Mungu. Msiinajisi nchi ambayo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, anawapa kama urithi wenu.Kumbukumbu La Torati 21:23 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- תָּלָהtâlâhto suspend (especially to gibbet)
- קְלָלָהqᵉlâlâhvilification
- נְבֵלָהnᵉbêlâha flabby thing, i.e. a carcase or carrion (human or bestial, often collectively); figurati
- לוּןlûwnto stop (usually over night); by implication, to stay permanently; hence (in a bad sense)
- קָבַרqâbarto inter
- טָמֵאṭâmêʼto be foul, especially in a ceremial or moral sense (contaminated)
- אֲדָמָהʼădâmâhsoil (from its general redness)
- עֵץʻêtsa tree (from its firmness); hence, wood (plural sticks)
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Gal 3:13, Jhn 19:31, Lev 18:25, 2Co 5:21, Num 35:33–34, Jos 8:29, Rom 9:3, Jos 10:26–27