Kumbukumbu La Torati 20:14
Kwa upande wa wanawake, watoto, mifugo na kila kitu kingine chochote ndani ya huo mji, mnaweza kuvichukua kama nyara kwa ajili yenu. Nanyi mnaweza kuzitumia hizo nyara ambazo Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, amewapa kutoka kwa adui zenu.Kumbukumbu La Torati 20:14 katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- בָּזַזbâzazto plunder
- טַףṭapha family (mostly used collectively in the singular)
- שָׁלָלshâlâlbooty
- בְּהֵמָהbᵉhêmâhproperly, a dumb beast; especially any large quadruped or animal (often collective)
- אֹיֵבʼôyêbhating; an adversary
- אִשָּׁהʼishshâha woman
- אָכַלʼâkalto eat (literally or figuratively)
- עִירʻîyra city (a place guarded by waking or a watch) in the widest sense (even of a mere encampme
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jos 8:2, Jos 22:8, Num 31:9, Num 31:18, Jos 11:14, Num 31:35–54, Num 31:12, 2Ch 14:13–15