Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, amewabariki kwa kazi yote ya mikono yenu. Amewalinda katika safari yenu katikati ya jangwa hili kubwa. Kwa miaka hii arobaini Mwenyezi Mungu, Mungu wenu, amekuwa pamoja nanyi, na hamkupungukiwa na kitu chochote.
Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.