Kumbukumbu La Torati 19:11
Lakini kama mtu anamchukia ndugu yake, akamvizia, akamshambulia na kumuua, kisha akakimbilia katika mojawapo ya miji hii,Kumbukumbu La Torati 19:11 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- אֵלʼêlthese or those
- אָרַבʼârabto lurk
- שָׂנֵאsânêʼto hate (personally)
- נוּסnûwçto flit, i.e. vanish away (subside, escape; causatively, chase, impel, deliver)
- רֵעַrêaʻan associate (more or less close)
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
- קוּםqûwmto rise (in various applications, literal, figurative, intensive and causative)
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Num 35:16–21, Deu 27:24, Gen 9:6, Exo 21:12–14, Num 35:24, Pro 28:17