Kumbukumbu La Torati 15:2
Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati wa Mwenyezi Mungu wa kufuta madeni umetangazwa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- מַשֶּׁהmashsheha debt
- שְׁמִטָּהshᵉmiṭṭâhremission (of debt) or suspension of labor)
- שָׁמַטshâmaṭto fling down; incipiently to jostle; figuratively, to let alone, desist, remit
- נָשָׁהnâshâhto lend or (by reciprocity) borrow on security or interest
- נָגַשׂnâgasto drive (an animal, a workman, a debtor, an army); by implication, to tax, harass, tyrann
- בַּעַלbaʻala master; hence, a husband, or (figuratively) owner (often used with another noun in modif
- רֵעַrêaʻan associate (more or less close)
- אָחʼâcha brother (used in the widest sense of literal relationship and metaphorical affinity or r
+maneno 4 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jas 2:13, Luk 7:42, Luk 6:34–38, Neh 5:7–11, Mat 18:25–35, Isa 58:3, Mat 6:14–15, Amo 8:4–6