MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Kumbukumbu La Torati 15:2

Hivi ndivyo itakavyofanyika: Kila mkopeshaji atafuta mkopo aliomkopesha Mwisraeli mwenzake. Hatamtaka Mwisraeli mwenzake au ndugu yake amlipe hilo deni, kwa sababu wakati wa Mwenyezi Mungu wa kufuta madeni umetangazwa.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/deu/15/2" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Kumbukumbu La Torati 15:2 — MEGA.Bible"></iframe>