Kumbukumbu La Torati 1:7
Vunjeni kambi, msonge mbele kuelekea nchi ya vilima ya Waamori; nendeni kwa watu wote ambao ni majirani wa Araba, katika milima, Shefela, katika Negebu na kandokando ya pwani, hadi nchi ya Wakanaani na hadi Lebanoni, na kufika mto mkubwa Frati.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חוֹףchôwpha cove (as a sheltered bay)
- שְׁפֵלָהshᵉphêlâhLowland, i.e. (with the article) the maritime slope of Palestine
- שָׁכֵןshâkêna resident; by extension, a fellow-citizen
- עֲרָבָהʻărâbâha desert; especially (with the article prefix) the (generally) sterile valley of the Jorda
- לְבָנוֹןLᵉbânôwnLebanon, a mountain range in Palestine
- כְּנַעַנִיKᵉnaʻanîya Kenaanite or inhabitant of Kenaan; by implication, a pedlar (the Canaanites standing for
- אֱמֹרִיʼĔmôrîyan Emorite, one of the Canaanitish tribes
- נֶגֶבnegebthe south (from its drought); specifically, the Negeb or southern district of Judah, occas
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.





