Kumbukumbu La Torati 1:41
Ndipo mkanijibu, “Tumemtenda Mwenyezi Mungu dhambi. Tutaenda kupigana, kama Mwenyezi Mungu, Mungu wetu, alivyotuamuru.” Hivyo kila mmoja wenu akachukua silaha zake, huku mkifikiri kuwa ni rahisi kukwea katika nchi ya vilima.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- הוּןhûwnproperly, to be naught, i.e. (figuratively) to be (causatively, act) light
- חָגַרchâgarto gird on (as a belt, armor, etc.)
- לָחַםlâchamto feed on; figuratively, to consume; by implication, to battle (as destruction)
- חָטָאchâṭâʼproperly, to miss; hence (figuratively and generally) to sin; by inference, to forfeit, la
- כְּלִיkᵉlîysomething prepared, i.e. any apparatus (as an implement, utensil, dress, vessel or weapon)
- מִלְחָמָהmilchâmâha battle (i.e. the engagement); generally, war (i.e. warfare)
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.