MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Danieli 5:3

Kwa hiyo wakavileta vile vikombe vya dhahabu ambavyo vilikuwa vimechukuliwa kutoka hekalu la Mungu huko Yerusalemu, naye mfalme na wakuu wake, pamoja na wake zake na masuria wake wakavinywea.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/dan/5/3" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Danieli 5:3 — MEGA.Bible"></iframe>