Danieli 4:15
Lakini kiacheni kisiki na mizizi yake, kikiwa kimefungwa kwa chuma na shaba, kibaki ardhini, kwenye majani ya kondeni. “ ‘Mwacheni aloweshwe na umande wa mbinguni, naye aachwe aishi pamoja na wanyama miongoni mwa mimea ya dunia.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- דֶּתֶאdetheʼ{a sprout; by analogy, grass}
- אֱסוּרʼĕçûwr{a bond (especially manacles of a prisoner)}
- חֲלָקchălâqa part
- עִקַּרʻiqqara stock
- שֹׁרֶשׁshôresh{a root (literally or figuratively)}
- בְּרַםbᵉramproperly, highly, i.e. surely; but used adversatively, however
- טַלṭal{dew (as covering vegetation)}
- צְבַעtsᵉbaʻto dip
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.