MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Danieli 11:36

“Mfalme atafanya apendavyo. Atajikweza na kujitukuza juu ya kila mungu, naye atasema mambo ambayo hayajawahi kusikiwa dhidi ya Mungu wa miungu. Atafanikiwa hadi wakati wa ghadhabu utimie, kwa maana kile kilichokusudiwa lazima kitatukia.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

God

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/dan/11/36" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Danieli 11:36 — MEGA.Bible"></iframe>