Danieli 11:21
“Atakayetawala baada yake atakuwa mtu wa kudharauliwa ambaye hajapewa heshima ya kifalme. Atauvamia ufalme wakati watu wake wanapojiona kuwa salama, naye atautwaa kwa hila.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- שַׁלְוָהshalvâhsecurity (genuine or false)
- כֵּןkêna stand, i.e. pedestal or station
- הוֹדhôwdgrandeur (i.e. an imposing form and appearance)
- בָּזָהbâzâhto disesteem
- מַלְכוּתmalkûwtha rule; concretely, a dominion
- חָזַקchâzaqto fasten upon; hence, to seize, be strong (figuratively, courageous, causatively strength
- עָמַדʻâmadto stand, in various relations (literal and figurative, intransitive and transitive)
- נָתַןnâthanto give, used with greatest latitude of application (put, make, etc.)
+maneno 1 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.