Amosi 2:11
“Pia niliinua manabii kutoka miongoni mwa wana wenu na Wanadhiri kutoka miongoni mwa vijana wenu. Je, hii si kweli, enyi watu wa Israeli?” asema Mwenyezi Mungu.Amosi 2:11 katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- נָזִירnâzîyrseparate, i.e. consecrated (as prince, a Nazirite); hence (figuratively from the latter) a
- בָּחוּרbâchûwrproperly, selected, i.e. a youth (often collective)
- נָבִיאnâbîyʼa prophet or (generally) inspired man
- נְאֻםnᵉʼuman oracle
- קוּםqûwmto rise (in various applications, literal, figurative, intensive and causative)
- יִשְׂרָאֵלYisrâʼêlJisrael, a symbolical name of Jacob; also (typically) of his posterity
- בֵּןbêna son (as a builder of the family name), in the widest sense (of literal and figurative re
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.