MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

Matendo Ya Mitume 8:1

Naye Sauli alikua pale, akiridhia kuuawa kwa Stefano. Waumini wateswa na kutawanyika Siku ile kukatukia mateso makuu dhidi ya waumini wa Isa huko Yerusalemu, nao waumini wote isipokuwa mitume wakatawanyika, wakakimbilia Yudea na Samaria.

Soma katika muktadha

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/act/8/1" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="Matendo Ya Mitume 8:1 — MEGA.Bible"></iframe>