2 Samweli 23:10
lakini yeye alisimama imara, akawaua Wafilisti hadi mkono wake ukachoka na kugandamana na upanga. Mwenyezi Mungu akawapa ushindi mkubwa siku ile. Vikosi vikarudi kwa Eleazari kuteka tu nyara za waliokufa.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- יָגַעyâgaʻproperly, to gasp; hence, to be exhausted, to tire, to toil
- תְּשׁוּעָהtᵉshûwʻâhrescue (literal or figurative, persons, national or spiritual)
- פָּשַׁטpâshaṭto spread out (i.e. deploy in hostile array); by analogy, to strip (i.e. unclothe, plunder
- כִּיkîy(by implication) very widely used as a relative conjunction or adverb (as below); often la
- דָּבַקdâbaqproperly, to impinge, i.e. cling or adhere; figuratively, to catch by pursuit
- פְּלִשְׁתִּיPᵉlishtîya Pelishtite or inhabitant of Pelesheth
- חֶרֶבcherebdrought; also a cutting instrument (from its destructive effect), as a knife, sword, or ot
- נָכָהnâkâhto strike (lightly or severely, literally or figuratively)
+maneno 9 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
1Sa 19:5, 1Sa 11:13, 1Sa 14:23, Eph 6:10–18, 2Co 4:5, Psa 108:13, Jdg 15:18, Jos 10:42