2 Samweli 20:12
Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani hadi kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- עֲמָשָׂאʻĂmâsâʼAmasa, the name of two Israelites
- גָּלַלgâlalto roll (literally or figuratively)
- מְסִלָּהmᵉçillâha thoroughfare (as turnpiked), literally or figuratively; specifically a viaduct, a stairc
- שָׁלַךְshâlakto throw out, down or away (literally or figuratively)
- סָבַבçâbabto revolve, surround, or border; used in various applications, literally and figuratively
- בֶּגֶדbegeda covering, i.e. clothing; also treachery or pillage
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
- שָׂדֶהsâdeha field (as flat)
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.