MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Samweli 20:12

Amasa alikuwa akigaagaa katika damu yake katikati ya barabara; mtu mmoja akaona kwamba vikosi vyote vilikuwa vinasimama pale. Huyo mtu alipotambua kwamba kila aliyefika pale Amasa alipokuwa alisimama, alimburuta Amasa kutoka barabarani hadi kwenye shamba na kutupia nguo juu yake.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Nani

Amasa

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/20/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 20:12 — MEGA.Bible"></iframe>