2 Samweli 18:31
Ndipo huyo Mkushi akawasili na kusema, “Mfalme bwana wangu, sikia habari njema! Leo Mwenyezi Mungu amekuokoa kutoka kwa wale wote walioinuka dhidi yako.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- בָּשַׂרbâsarproperly, to be fresh, i.e. full (rosy, (figuratively) cheerful); to announce (glad news)
- כּוּשִׁיKûwshîya Cushite, or descendant of Cush
- שָׁפַטshâphaṭto judge, i.e. pronounce sentence (for or against); by implication, to vindicate or punish
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- קוּםqûwmto rise (in various applications, literal, figurative, intensive and causative)
- יָדyâda hand (the open one (indicating power, means, direction, etc.),
- יוֹםyôwma day (as the warm hours), whether literal (from sunrise to sunset, or from one sunset to
- מֶלֶךְmeleka king
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Sa 18:19, Deu 32:35–36, Psa 124:2–3, Psa 94:1–4, Luk 18:7–8, 2Sa 18:28, 2Sa 22:48–49, Psa 58:10
