2 Samweli 18:20
Yoabu akamwambia Ahimaasi, “Leo si wewe utakayepeleka habari. Unaweza kupeleka habari wakati mwingine, lakini leo haikupasi kupeleka, kwa sababu mwana wa mfalme amekufa.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- בְּשׂוֹרָהbᵉsôwrâhglad tidings; by implication, reward forgood news
- בָּשַׂרbâsarproperly, to be fresh, i.e. full (rosy, (figuratively) cheerful); to announce (glad news)
- יוֹאָבYôwʼâbJoab, the name of three Israelites
- אַחֵרʼachêrproperly, hinder; generally, next, other, etc.
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- אִישׁʼîysha man as an individual or a male person; often used as an adjunct to a more definite term
- יוֹםyôwma day (as the warm hours), whether literal (from sunrise to sunset, or from one sunset to
- מֶלֶךְmeleka king
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.