2 Samweli 17:23
Ahithofeli alipoona kwamba ushauri wake haukufuatwa, akatandika punda wake, akaondoka kwenda nyumbani mwake kwenye mji wake. Akaiweka nyumba yake katika utaratibu, kisha akajinyonga mwenyewe. Hivyo akafa na akazikwa katika kaburi la baba yake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- חָנַקchânaqto be narrow; by implication, to throttle, or (reflex.) to choke oneself to death (by a ro
- אֲחִיתֹפֶלʼĂchîythôphelAchithophel, an Israelite
- חָבַשׁchâbashto wrap firmly (especially a turban, compress, or saddle); figuratively, to stop, to rule
- קֶבֶרqebera sepulchre
- עֵצָהʻêtsâhadvice; by implication, plan; also prudence
- חֲמוֹרchămôwra male ass (from its dun red)
- קָבַרqâbarto inter
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
+maneno 8 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.