MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Samweli 17:18

Lakini kijana mmoja mwanaume akawaona, naye akamwambia Absalomu. Basi wote wawili wakaondoka haraka, wakaenda hadi kwenye nyumba ya mtu mmoja huko Bahurimu. Mtu huyo alikuwa na kisima uani mwake, nao Yonathani na Ahimaasi wakateremka ndani ya kisima hicho.

Soma katika muktadha

Mstari huu katika ulimwengu halisi

Marejeleo mtambuka

2Sa 3:16, 2Sa 16:5, 2Sa 19:16

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/17/18" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 17:18 — MEGA.Bible"></iframe>