2 Samweli 17:14
Absalomu na wanaume wote wa Israeli wakasema, “Ushauri wa Hushai, Mwarki, ni mwema kuliko ule wa Ahithofeli.” Kwa maana Mwenyezi Mungu alikuwa amekusudia kupinga ushauri mwema wa Ahithofeli, ili kuleta maafa kwa Absalomu.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Kwa maneno gani
- אַרְכִּיʼArkîyan Arkite or native of Erek
- עָבוּרʻâbûwrproperly, crossed, i.e. (abstractly) transit; used only adverbially, on account of, in ord
- חוּשַׁיChûwshayChushai, an Israelite
- אֲחִיתֹפֶלʼĂchîythôphelAchithophel, an Israelite
- פָּרַרpârarto break up (usually figuratively), i.e. to violate, frustrate
- עֵצָהʻêtsâhadvice; by implication, plan; also prudence
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- צָוָהtsâvâh(intensively) to constitute, enjoin
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Sa 15:34, 1Co 1:19–20, Isa 8:10, Pro 19:21, 1Co 3:19, Job 5:12–14, Pro 21:30, 2Sa 15:31