2 Samweli 15:4
Absalomu aliongeza, “Laiti tu ningeteuliwa kuwa mwamuzi katika nchi. Ndipo kila mmoja mwenye mashtaka au shauri angekuja kwangu nami ningeona kwamba anapata haki.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- צָדַקtsâdaqto be (causatively, make) right (in a moral or forensic sense)
- רִיבrîyba contest (personal or legal)
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- שָׁפַטshâphaṭto judge, i.e. pronounce sentence (for or against); by implication, to vindicate or punish
- מִשְׁפָּטmishpâṭproperly, a verdict (favorable or unfavorable) pronounced judicially, especially a sentenc
- שׂוּםsûwmto put (used in a great variety of applications, literal, figurative, inferentially, and e
- אִישׁʼîysha man as an individual or a male person; often used as an adjunct to a more definite term
- אֶרֶץʼeretsthe earth (at large, or partitively a land)
+maneno 2 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.