2 Samweli 15:18
Watu wake wote wakatembea, wakampita wakiwa wamefuatana na Wakerethi na Wapelethi wote; pia Wagiti wote mia sita waliokuwa wamefuatana naye kutoka Gathi wakapita mbele ya mfalme.2 Samweli 15:18 katika ulimwengu halisi
Wapi
Lini
Kwa maneno gani
- פְּלֵתִיPᵉlêthîya courier (collectively) or official messenger
- גִּתִּיGittîya Gittite or inhabitant of Gath
- כְּרֵתִיKᵉrêthîya Kerethite or life-guardsman
- גַּתGathGath, a Philistine city
- שֵׁשׁshêshsix (as an overplus beyond five or the fingers of the hand); as ord. sixth
- רֶגֶלregela foot (as used in walking); by implication, a step; by euphemistically the pudenda
- עָבַרʻâbarto cross over; used very widely of any transition (literal or figurative; transitive, intr
- מֵאָהmêʼâha hundred; also as a multiplicative and a fraction
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
