MEGA.Bible Tafuta
Kiswahili

2 Samweli 15:12

Absalomu alipokuwa anatoa dhabihu, pia akatuma aitwe Ahithofeli Mgiloni, mshauri wa Daudi, aje kutoka Gilo, ambao ndio mji wake wa nyumbani. Kwa hiyo mpango wa hila ukapata nguvu, na idadi ya waliofuatana na Absalomu ikaongezeka.

Soma katika muktadha

2 Samweli 15:12 katika ulimwengu halisi

Wapi

Pachika mstari huu

Nakili HTML hii kwenye tovuti yako — matumizi huru, bila funguo, bila kufuatiliwa. Ongeza ?theme=light au ?theme=dark kwenye anwani ili ilingane na ukurasa wako.

<iframe src="https://mega.bible/embed/verse/biblia-takatifu/2sa/15/12" width="100%" height="180" style="border:0" loading="lazy" title="2 Samweli 15:12 — MEGA.Bible"></iframe>