2 Samweli 14:24
Lakini mfalme akasema, “Lazima Absalomu aende kwenye nyumba yake mwenyewe; kamwe asiuone uso wangu.” Kwa hiyo Absalomu akaenda kwenye nyumba yake na hakuuona uso wa mfalme.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- אֲבִישָׁלוֹםʼĂbîyshâlôwmAbshalom, a son of David; also (the fuller form) a later Israelite
- סָבַבçâbabto revolve, surround, or border; used in various applications, literally and figuratively
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
- בַּיִתbayitha house (in the greatest variation of applications, especially family, etc.)
- פָּנִיםpânîymthe face (as the part that turns); used in a great variety of applications (literally and
- מֶלֶךְmeleka king
- אָמַרʼâmarto say (used with great latitude)
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.