2 Samweli 14:19
Mfalme akauliza, “Je, mkono wa Yoabu haupo pamoja nawe katika jambo hilo lote?” Huyo mwanamke akajibu, “Hakika kama uishivyo, bwana wangu mfalme, hakuna yeyote anayeweza kugeuka kulia wala kushoto kutokana na chochote anachosema bwana wangu mfalme. Naam, ni mtumishi wako Yoabu ndiye alinifundisha kufanya hivi, naye ndiye aliweka maneno haya yote kinywani mwa mtumishi wako.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- אִשׁʼishentity, used only adverbially, there is or are
- שָׂמַאלsâmaʼlto use the left hand or pass in that direction)
- יָמַןyâmanto be right-handed or take the right-hand side
- שִׁפְחָהshiphchâha female slave (as a member of the household)
- יוֹאָבYôwʼâbJoab, the name of three Israelites
- אָדוֹןʼâdôwnsovereign, i.e. controller (human or divine)
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- חַיchayalive; hence, raw (flesh); fresh (plant, water, year), strong; also (as noun, especially i
+maneno 12 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.