2 Samweli 14:11
Huyo mwanamke akasema, “Basi mfalme na amwombe Mwenyezi Mungu, Mungu wake, ili kuzuia mlipiza kisasi cha damu kuongeza juu ya uharibifu, ili mwanangu asije akaangamizwa.” Mfalme akasema, “Hakika kama Mwenyezi Mungu aishivyo, hakuna unywele mmoja wa kichwa cha mwanao utakaoanguka chini.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- שַׂעֲרָהsaʻărâhhairiness
- שָׁמַדshâmadto desolate
- גָּאַלgâʼalto be the next of kin (and as such to buy back a relative's property, marry his widow, etc
- שָׁחַתshâchathto decay, i.e. (causatively) ruin (literally or figuratively)
- רָבָהrâbâhto increase (in whatever respect)
- זָכַרzâkarproperly, to mark (so as to be recognized), i.e. to remember; by implication, to mention;
- דָּםdâmblood (as that which when shed causes death) of man or an animal; by analogy, the juice of
- נָפַלnâphalto fall, in a great variety of applications (intransitive or causative, literal or figurat
+maneno 7 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.