2 Samweli 10:19
Wafalme wote waliokuwa wanamtumikia Hadadezeri walipoona kuwa wameshindwa na Israeli, wakafanya amani na Waisraeli na wakawa chini yao. Hivyo Waaramu wakaogopa kuwasaidia Waamoni tena.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Lini
Nani
Kwa maneno gani
- הֲדַרְעֶזֶרHădarʻezerHadarezer, a Syrian king
- נָגַףnâgaphto push, gore, defeat, stub (the toe), inflict (a disease)
- עַמּוֹןʻAmmôwnAmmon, a son of Lot; also his posterity and their country
- שָׁלַםshâlamto be safe (in mind, body or estate); figuratively, to be (causatively, make) completed; b
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- יָשַׁעyâshaʻproperly, to be open, wide or free, i.e. (by implication) to be safe; causatively, to free
- עָבַדʻâbadto work (in any sense); by implication, to serve, till, (causatively) enslave, etc.
- יָרֵאyârêʼto fear; morally, to revere; caus. to frighten
+maneno 6 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
2Sa 8:6, Rev 18:10, Gen 14:1–5, 1Ki 20:1, Jdg 1:7, Psa 18:37–38, 1Ch 19:19, Jos 11:10

