2 Wafalme 8:9
Hazaeli akaenda kumlaki Al-Yasa, akiwa amechukua zawadi ya kila kitu kizuri kilichopatikana Dameski, mizigo iliyobebwa na ngamia arobaini. Akaingia ndani na kusimama mbele yake, akasema, “Mwanao Ben-Hadadi mfalme wa Aramu amenituma niulize, ‘Je, nitapona ugonjwa huu?’ ”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- חֳלִיchŏlîymalady, anxiety, calamity
- חֲזָאֵלChăzâʼêlChazael, a king of Syria
- בֶּן־הֲדַדBen-HădadBen-Hadad, the name of several Syrian kings
- טוּבṭûwbgood (as a noun), in the widest sense, especially goodness (superlative concretely, the be
- דַּמֶּשֶׂקDammeseqDamascus, a city of Syria
- גָּמָלgâmâla camel
- מַשָּׂאmassâʼa burden; specifically, tribute, or (abstractly) porterage; figuratively, an utterance, ch
- קִרְאָהqirʼâhan encountering, accidental, friendly or hostile (also adverbially, opposite)
+maneno 14 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.

