2 Wafalme 8:12
Hazaeli akauliza “Kwa nini bwana wangu analia?” Al-Yasa akajibu, “Kwa sababu najua mabaya utakayowatendea Waisraeli. Utachoma moto ngome zao, utawaua vijana wao kwa upanga, kuwatupa chini kwa nguvu watoto wachanga, na kuwatumbua wanawake wenye mimba.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רָטָשׁrâṭâshto dash down
- הָרֶהhârehpregnant
- עוֹלֵלʻôwlêla suckling
- חֲזָאֵלChăzâʼêlChazael, a king of Syria
- מִבְצָרmibtsâra fortification, castle, or fortified city; figuratively, a defender
- בָּקַעbâqaʻto cleave; generally, to rend, break, rip or open
- בָּחוּרbâchûwrproperly, selected, i.e. a youth (often collective)
- בָּכָהbâkâhto weep; generally to bemoan
+maneno 11 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.