2 Wafalme 7:4
Tukisema, ‘Tutaingia mjini,’ mjini kuna njaa, nasi tutakufa humo. Tukikaa hapa, tutakufa. Kwa hiyo twende kambi ya Waaramu, tujisalimishe. Wakituacha hai, tutaishi; wakituua, basi na tufe.”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Kwa maneno gani
- רָעָבrâʻâbhunger (more or less extensive)
- אֲרָםʼĂrâmAram or Syria, and its inhabitants; also the name of the son of Shem, a grandson of Nahor,
- מַחֲנֶהmachănehan encampment (of travellers or troops); hence, an army, whether literal (of soldiers) or
- חָיָהchâyâhto live, whether literally or figuratively; causatively, to revive
- נָפַלnâphalto fall, in a great variety of applications (intransitive or causative, literal or figurat
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- עִירʻîyra city (a place guarded by waking or a watch) in the widest sense (even of a mere encampme
- יָלַךְyâlakto walk (literally or figuratively); causatively, to carry (in various senses)
+maneno 3 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.
Marejeleo mtambuka
Jer 14:18, 2Sa 14:14, Luk 15:17–19, Jon 3:9, Est 4:16, Jer 8:14, Heb 9:27, Jer 37:13–14