2 Wafalme 7:19
Yule afisa alikuwa amemwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Mwenyezi Mungu atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Naye yule mtu wa Mungu alikuwa amemjibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- אֲרֻבָּהʼărubbâha lattice; (by implication) a window, dovecot (because of the pigeon-holes), chimney (with
- שָׁלִישׁshâlîysha triple, i.e. (as a musical instrument) a triangle (or perhaps rather threestringed lute)
- עָנָהʻânâhproperly, to eye or (generally) to heed, i.e. pay attention; by implication, to respond; b
- שָׁמַיִםshâmayimthe sky (as aloft; the dual perhaps alluding to the visible arch in which the clouds move,
- אָכַלʼâkalto eat (literally or figuratively)
- עַיִןʻayinan eye (literally or figuratively); by analogy, a fountain (as the eye of the landscape)
- רָאָהrâʼâhto see, literally or figuratively (in numerous applications, direct and implied, transitiv
- דָּבָרdâbâra word; by implication, a matter (as spoken of) or thing; adverbially, a cause
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.