2 Wafalme 7:17
Basi mfalme alikuwa amemweka yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake awe msimamizi wa lango. Nao watu wakamkanyaga walipoingia langoni, naye akafa, kama vile mtu wa Mungu alivyokuwa ametangulia kusema wakati mfalme alipofika nyumbani mwake.Mstari huu katika ulimwengu halisi
Nani
Kwa maneno gani
- רָמַסrâmaçto tread upon (as a potter, in walking or abusively)
- שָׁלִישׁshâlîysha triple, i.e. (as a musical instrument) a triangle (or perhaps rather threestringed lute)
- שָׁעַןshâʻanto support one's self
- פָּקַדpâqadto visit (with friendly or hostile intent); by analogy, to oversee, muster, charge, care f
- שַׁעַרshaʻaran opening, i.e. door or gate
- יָרַדyâradto descend (literally, to go downwards; or conventionally to a lower region, as the shore,
- מוּתmûwthto die (literally or figuratively); causatively, to kill
- דָבַרdâbarperhaps properly, to arrange; but used figuratively (of words), to speak; rarely (in a des
+maneno 5 zaidi katika mstari huu
Maneno ya Kiebrania na Kiyunani yaliyo nyuma ya mstari huu. Ulinganisho wa neno kwa neno utakuja na tafsiri ya mstari-kwa-mstari.